Mwili
wa muigizaji wa filamu nchini Rachel Haule umeagwa leo hii katika
viwanja vya Leaders na baada ya hapo atazikwa katika makaburi ya
Kinondoni. Wasanii wengi ndugu, jamaa na marafiki wamejawa katika
simanzi kubwa huku Irene Uwoya akizimia pengine kwa mshituko wa
kuondokewa na msanii mwenzao. Angalia picha zikionyesha matukio ya mwili
wa Rachel tangu akitolewa Muhimbili, kupelekwa Sinza na
Leaders..........
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia