WAASI WA SELEKA WAENDELEA KUJIIMBARISHA ZAIDI
Serikali imelaani hatua hiyo, na kusema kundi hilo limeshikilia mali za nchi kaskazini mwa nchi hiyo.
Kundi hilo la waasi Waislamu limekuwa likihusika na mapingano na
wapiganaji wa Kikristo wa wanamgambo wa anti-balaka tangu mwezi Machi
2013.
Vita hivyo vimesababisha asilimia 25 ya watu kupoteza makazi yao kati
ya idadi ya wananchi wa Jamhuri ya Afrika ya Kati milioni 4.6.
Umoja wa Afrika, Ufaransa na Umoja wa Ulaya wana vikosi vipatavyo 7000 vinayopambana kumaliza vita hivyo nchini humo.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia