HIVI NDIVYO TWASIRA HALISI YA MKUTANO WA UKAWA MKOANI ARUSHA
Katibu
Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (chadema) Dr Wilbrod Slaa
(haonekani vizuri pichani) akizungumza na wananchi wa Arusha katika
viwanja vya Kilombero ikiwa ni mfululizo wa Mikutano ya Umoja wa Katiba
ya Wananchi iliyoanza juzi katika maeneo tofauti ya nchi. Katika mkutano
wa Arusha Dr Slaa aliambatana na viongozi wengine kutoka NCCR Mageuzi
na Chama Cha Wananchi (CUF) iliyowakilishwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu
Bw Mustafa Mwanri.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia