 |
Waziri
Mkuu wa Uturuki, Mhe. Recep Tayyip Erdogan (kulia) akiwa katika
mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa
Tanzania, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). mazungumzo hayo yalifanyika katika
Ofisi ya Waziri Mkuu mjini Ankara, Uturuki |
 |
Mazungumzo
yanaendelea kati ya Waziri Mkuu wa Uturuki (kulia) na Waziri wa Mambo
ya Nje wa Tanzania. Mwingine katika picha ni Bibi Victoria Mwakasege,
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Kimataifa |
 |
Waziri Membe kulia akishikana mkono na Waziri Mkuu wa Uturuki mara baada ya viongozi hao kumaliza mazungumzo. |
Mazungumzo kati ya Waziri Membe na Waziri na Naibu Waziri Mkuu wa Uturuki
 |
Ujumbe
wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa aliyevaa shati la njano kulia ukiwa katika mazungumzo na
ujumbe wa Uturuki unaongozwa na Naibu Waziri Mkuu, Mhe. Emrullah Isler
wa tatu kutoka kushoto. |
 |
Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Bernard K. Membe akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Waziri Mkuu wa Uturuki |
 |
Waziri Membe naye akimpa zawadi ya kinyago Naibu Waziri Mkuu wa Uturuki |
 |
Mhe. Membe na Naibu Waziri Mkuu wa Uturuki wakijadili suala baada ya zoezi la kukabidhiana zawadi kukamilika
Mazungumzo ya Waziri Membe na Wazri wa Mambo ya Nje wa Uturuki |
 |
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe wa
tatu kutoka kushoto na ujumbe wakijadili masuala mbalimbali kuhusu
ushirikiano na Uutruki na ujumbe wa Uturuki unaonekana katika picha ya
chini. |
 |
Waziri
wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mhe. Almet Dovutoglu wa pili kutoka kulia
akiwa na ujumbe wake wakati wa mazungumzo na Mhe. Membe.
Mkutano na Waandishi wa Habari |
 |
Waziri
wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mhe. Bernard K. Membe akihutubia Mkutano
wa Waandishi wa Habari huku akimshika mkono Waziri wa Mambo ya Nje wa
Uturuki, Mhe. Almet Dovutoglu |
 |
Waziri Membe akiendelea kuwahutubia waandishi wa habari hawapo pichani
Mapokezi ya Mhe. Membe nchini Uturuki |
 |
Waziri Membe akipeana mikono na watu waliofika Uwanja wa Ndege wa Ankara kumpokea |