Makamu mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Profesa Faustine Bee akiwa juu ya Bomba kwa lengo la kutizama kwa ukaribu Chemichemi hiyo . |
Wajumbe wakitizama Chemichemi. |
Wajumbe wakiendelea kupatiwa maelezo. |
Baada ya kutizama Chemichemi hiyo safari ya kurudi ikaanza kama kawaida kiongozi ,Mama Shally Raymond akaongoza safari ya kupanda kilima. |
Wajumbe wa bodi wakahitimisha ziara yao kwa eneo hilo la Himo kwa kutembelea ofisi mpya za mamlaka hiyo kituo cha Himo. |
Wakiwa Moshi mjini wajumbe wa Bodi walitembelea Chanzo kipya cha maji kilichopo mto Karanga ambacho kwa sasa ujenzi wake unaendelea. |
Ziara hiyo ikahitimishwa kwa majumuisho yaliyofanyika katika ofisi za mamlaka hiyo zilizopo katikati ya mji wa Moshi. |
Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa taarifa mbele ya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka hiyo. |