BABA WA MBUNGE WA LUDEWA FILIKUNJOMBE AZIKWA

Mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akitoa heshima zake katika jeneza lenye mwili wa babake mzee Frolian Filikunjombe
Wabunge  wakitoa heshima zao
Msanii wa bongo muvi Kety akitoa heshima za mwisho
Mbunge  wa  jimbo la Mwibara Kangi  Lugola (CCM) akiwa na mbunge wa Kigoma Kaskazin Zitto Kabwe (Chadema) nyumbani kwa mbunge   Deo Filikunjombe jimboni Ludewa
Mbunge Filikunjombe kulia  akinywa pombe aina ya ulanzi  huku mbunge Kangi Lugola na Zitto Kabwe katikati  wakishuhudia
Mheshimiwa kangi akiuliza pombe hiyo
Askofu wa RC Njombe Afredy Maluma akitoa baraka  za mwisho

Habari Kamili  itakujia
Waziri mkuu mstaafu  Edward  Lowasa akifuatiwa na mbuge wa jimbo la Mwibara Kangi Lugola wakitoa heshima zao  

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post