Ticker

6/recent/ticker-posts

OKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO DAMU

 Katibu Mkuu wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha (APC) Eliya Mbonea ambaye pia ni Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya New Habari (2006) wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba akichangia damu jijini Arusha jana ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kukusanya damu kwa ajili ya Benki ya Damu Kanda ya Kaskazini, shughuli hiyo ilifanyika katika Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la Arusha jijini Arusha kwa takribani siku 5.

Post a Comment

0 Comments