BREAKING NEWZ: MUIGIZAJI SAJUKI AFARIKI DUNIA


Habari za uhakika  zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Msanii Juma Kilowoko almaarufu kwa jina la Sajuki, amefar iki dunia.

Msanii Juma Kilowoko (sajuki)amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili ambako  alikokuwa amelazwa.

Chanzo cha habari kinasema  kuwa msanii huyo hadi umauti unamkuta alikuwa amegundulika kuwa na tatizo la Kansa ya ngozi na upungufu wa damu. 
                                                     Bwana ametwaa ,Amina.
                                                          
    Enzi za uhai wake na mkewe Wastara

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post