wakazi wa mkoa wa aArusha na pembezoni wekendi ndo hiyo imeanza sasa ujiulize wapi pa kwenda bali sasa wakati ni wako aliyamisi ya leo
| unakaribishwa Libeneke Pub uanzie wekendi hapo na pia katika ukumbi wa triple A wazee wa gwasuma wanatumbuiza ikiwa ni pamoja na kuitambulisha bendi albamu yao mpya usikose | KWA UPANDE WA BENDI FESTI LEFTY KUNA BENDI ,SUNDOWN KUNABENDI YA NGUVU BILA KUSAHAU KATIKA UKUMBI WA NAROK | KWA WALE WA MADISCO KUNA KLABU AQ DISCO LA NGUVU | ,TRIPLE A KUNA DISCO ZURI NA MADJ WA UKWELI |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia