Ticker

6/recent/ticker-posts

ZANZIBAR WASHEREKEA MIAKA 49 YA MAPINDUZI LEO


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride wakati wa Sherehe za Mapinduzi, zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Amani mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduizi Dk.Ali Mohamed Shein,akiwapungia Mkono wananchi waliopita mbele ya Jukwa kwa Maandamano ya Sherehe za Kilele cha Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduizi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa hutuba yake kwa wananchi wa Zanzibar kupitia katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapunduzi Matukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studiuma Mjini Zanzibar jana,kuhudhuriwa na Maelfu ya wananchi mbali mbali Mjini na Mashamba.
Kikosi cha Bendera cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa haraka ,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la (KMKM) Kikosi cha kuzuia Magendo Wanawake kikipita mbele ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa pole,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Wanawake kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa pole,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la Mafunzo la Serikali ya Mapinduzi Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa pole,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la (KMKM) Kikosi cha kuzuia Magendo Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa haraka,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la (JKU) jeshi la Kujenga Uchumi, Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa haraka,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Kikosi cha Jeshi la (JKU) jeshi la Kujenga Uchumi, Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa haraka,katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar leo.
Msanii Halikuniki akiongoza Kikundi cha wasanii cha Cha Beni Maarufu(Mbwakachoka) kikipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar.
Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar.
Baadhi ya wananchi wakipita kwa Maandamano mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar..[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Post a Comment

0 Comments