Ticker

6/recent/ticker-posts

WAZIRI WA UVUVI NA MAENDELEO YA MIFUGO AFANYA ZIARA KATIKA MACHINJIO YA ARUSHA

 Waziri wa Uvuvi na  maendeleo ya mifugo Dr.Mathayo David Mathayo akiwa anatembelea eneo la nje la machinjio   ya Arusha Meat wakati alipofanya ziara yake ya siku moja
 waziri akiangalia mathari ya ndani ya sehemu ambayo mifugo inachinjiwa
 picha ikionyesha waziri wa uvuvi na maendeleo ya mifugo Dr.David Mathayo David akiuliza swali wakati alipokuwa sehemu ng'ombe wanapochinjiwa
picha ikionyesha Waziri wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Dk. David Mathayo David wa pili kulia  akisikiliza maelekezo kutoka kwa meneja wa wa machinjio ya Arusha ( Arusha Meat )Fabian Kisingi wakati alipofanya ziara ya kutembelea machinjio hiyo  na kuona kazi zinazofanywa na machinjio hiyo ambapo aliwahaidi kuhakikisha  kuwa watazuia nyama zote zinazotoka nchi za nje ili soko la nyama  hapa nchini likuwe

Post a Comment

0 Comments