Bomu la kutupwa limerushwa leo katika mkutano wa kufunga kampeni za udiwani za chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA iliyokuwa ikifanyika katika kiwanja cha soweto jijini hapa
WATU zaidi ya 15 wamejeruliwa huku ikidaiwa watu watatu wamefariki dunia
mpaka sasa hamna mtu ambaye anashikiwa kwa kuhusika na tukio hilo
1 Comments
sad news
ReplyDeleteunashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia