TASWIRA YA MAHAFALI YA WAHITIMU WA UHIFADHI WA WANYAMAPORI JIJINI MWANZA.
| Waziri
wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Balozi wa Marekani Mark Childless wakikagua gwaride la heshima la wahitimu wa chuo hicho. |
| Wahitimu
wa Uhifadhi wa wanyamapori katika chuo Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori Psiansi Mwanza wakicheza gwaride juzi, wakati wa wa mahafali ya 49 ya chuo hicho juzi. |
| Wahitimu
wa Uhifadhi wa wanyamapori katika chuo cha Taasisi ya Taaluma ya wanyamapori Psiansi Mwanza wakionyesha ujuzi wa kutumia silaha wakati wa mahafali ya 49 ya chuo hicho juzi. |
| Wahitimu
wakionesha utaalamu wa Karate. |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia