Ticker

6/recent/ticker-posts

SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI

 Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akijadili jambo na mfadhili wa shule ya O'Brien ya Hai,Bibi Kellie O'Brien(katikati) na kulia ni diwani wa kata ya kia,Sinyoki Ole Nairuko
 Sehemu ya wageni kutoka nchini Marekani waliohudhuria sherehe za siku ya shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza ya O'Brien ya Hai
 Diwani wa kata ya Kia,Sinyoki Ole Nairuki akiwatambulisha wageni mbalimbali katika sherehe za siku ya shule ya O'Brien
  Wanafunzi wa shule ya O'Brien wakitoa burudani
 Sehemu ya akinamama wa Kimaasai waliohudhuria shule ya siku ya shule ya The O'Brien School for the Maasai
 Morani wakitoa burudani pamoja na wageni kutoka marekani
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga na mfadhili Bibi Kellie O.Brien wakishuhudia shughuli mbalimbali za siku ya shule ya msingi ya O'Brien.

Post a Comment

0 Comments