Ticker

6/recent/ticker-posts

WATALII WAKIWA WANAPATA CHAKULA CHA USIKU KATIKA HOTEL YA NEW ARUSHA

 Kundi la Watalii kutoka mataifa mbalimbali duniani wakiwa katika picha tofauti jijini Arusha wakati wa Chakula cha Usiku kilichofanyika katika Hoteli ya New Arusha Hoteli jijini Arusha na Maofisa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii waliongozwa na Mratibu wa Taifa wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele (Neglected Tropical Disease) Upendo Mwingira. Watalii hao wamepanda Mlima Kilimanjaro na wanatarajia kushuka Julai 5, Mwaka huu. Lengo la kupanda Mlima ni kuchangisha fedha kwa ajili ya kudhibiti magonjwa hayo.


Post a Comment

0 Comments