Ticker

6/recent/ticker-posts

KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA AKUTANA NA WAENDESHA BODA BODA

20140630_103112
Baadhi ya waendesha pikipiki za kubeba abiria Jijini Arusha maarufu kama bodaboda wakiwa katika kikao cha dharula na RPC Sabas katika mjadala uliofanyika Ofisi ya Kata ya Ololrieni ukilenga kuoba ushirikiano wa maswala ya usalama baina ya waendeshaji hao ili kufanikisha ushirikiano baina ya Jeshi la Polisi na wananchi wema katika kuzuia uhalifu Jijini Arusha kupitia mradi wa Ulinzi Shirikishi.20140630_104917

20140630_104751
Baada ya kikao waokiondoka kurejea vituoni kwao.

Post a Comment

0 Comments