Amiri
Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete,
akikagua gwaride wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya tangu
kuanzishwa kwa jeshi hilo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Da
es Salaam jana mchana.
Chini na juu ni askari hao wakipita mbele ya jukwaa kuu kwa gwride la heshima.
Askari
wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wakionyesha umahiri wao kujihami na
adui kwa mbinu za Karate wakati wa sherehe za maadhimisho ya miaka 50
tangu kuanzishwa kwa jeshi hilo zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru
jijini Dar es Salaam, jana mchana.
Mbinu za kujihami....
Rais Jakaya Kikwete, akihutubia.
1 Comments
MUNGU IBARIKI tANZANIA, NAFIKIRI MAANDALIZI YA KUIKOMBOA RWANDA YANAKARIBIA
ReplyDeleteunashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia