Meneja
mpya wa Manchester United David Moyes amemteua kiungo mkongwe Ryan
Giggs kuwa kocha-mchezaji wa timu hiyo ya Old Trafford leo mchana.
Giggs,
39, ambaye ni kati ya wachezaji waliotunukiwa nishani nyingi sana
katika soka la Uingereza, amekuwa akifanya mitihani yake ya ukocha na
anatarajiwa kupata leseni ya ukufunzi ya UEFA mwaka kesho.
Mnamo Machi mwaka huu, Giggs aliongeza mkataba wake wa kuchezea Mashetani Wekundu kwa mwaka mmoja, na anatarajia kubeba majukumu kamili kama kocha na mchezaji wa kikosi cha kwanza cha Man U msimu huu.
Giggs alisaini mkataba wa mwaka mmoja hivyo pia itakuwa ni issue nzuri kwake pia ataweza kuwaamasicha wenzake kikosini na kuweza kuwapa ushirikiano wa kutosha kwani ni mchezaji mwenye uzoefu wa kutosha na wa siku nyingi kwenye namba ya United.
Mnamo Machi mwaka huu, Giggs aliongeza mkataba wake wa kuchezea Mashetani Wekundu kwa mwaka mmoja, na anatarajia kubeba majukumu kamili kama kocha na mchezaji wa kikosi cha kwanza cha Man U msimu huu.
Giggs alisaini mkataba wa mwaka mmoja hivyo pia itakuwa ni issue nzuri kwake pia ataweza kuwaamasicha wenzake kikosini na kuweza kuwapa ushirikiano wa kutosha kwani ni mchezaji mwenye uzoefu wa kutosha na wa siku nyingi kwenye namba ya United.