Ticker

6/recent/ticker-posts

GIGGS APEWA ULAJI KWENYE KLABU YAKE YA MANCHESTER UNITED!, SASA NI KOCHA NA MCHEZAJI!!!


Coaching role: Ryan Giggs will gain experience alongside Moyes and his staff as he works towards his coaching qualificationsMeneja mpya wa Manchester United David Moyes amemteua kiungo mkongwe Ryan Giggs kuwa kocha-mchezaji wa timu hiyo ya Old Trafford leo mchana.  Giggs, 39, ambaye ni kati ya wachezaji waliotunukiwa nishani nyingi sana katika soka la Uingereza, amekuwa akifanya mitihani yake ya ukocha na anatarajiwa kupata leseni ya ukufunzi ya UEFA mwaka kesho.
Mnamo Machi mwaka huu, Giggs aliongeza mkataba wake wa kuchezea Mashetani Wekundu kwa mwaka mmoja, na anatarajia kubeba majukumu kamili kama kocha na mchezaji wa kikosi cha kwanza cha Man U msimu huu.
Still going strong: Giggs was rewarded with a one-year contract extension after another consistent year
Giggs alisaini mkataba wa mwaka mmoja hivyo pia itakuwa ni issue nzuri kwake pia ataweza kuwaamasicha wenzake kikosini na kuweza kuwapa ushirikiano wa kutosha kwani ni mchezaji mwenye uzoefu wa kutosha na wa siku nyingi kwenye namba ya United.

Post a Comment

0 Comments