ADHA YA MVUA YAWAKUMBA WAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO
| Wafanyabiashara wa mkaa wakijaribu kuokoa mkaa usilowe maji . |
| Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC. |
| Maji yakipita kwa wingi yakitokea katika Mashamba ya miwa ya TPC na maeneo ya katikati ya mji ambako mvua kubwa imenyesha . |
| Mama akimsadia mtoto wake kuvuka maji katika eneo la Mabogini . |
| Wanafunzi wakijaribu kuvuka maji wakati wakitoka shuleni. |
| Wazazi walilazimika kuacha shughuli zao na kwenda kuwachukua watoto wao wasije chukuliwa na maji. |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia