CHEKI TASWIRA YA MATUKIO YALIOTOKEA KATIKA MECHI YA YANGA NA PANONE FC MKOANI KILIMANJARO
| Benchi la ufundi la timu ya Panone fc likiongozwa na kocha Atuga Manyundo. |
| Benchi la ufundi la timu ya Yanga likiongozwa na kocha Hans van der plujim na Boniface Mkwasa(Master). |
| Wachezaji wa Panone fc. |
| Wachezaji wa Yanga. |
| Yanga. |
| Waaamuzi wa pambano hilo wakiongozwa na mwamuzi wa kati Vitalis Alfred |
| Mwamuzi Vitalis Alfred akisalimiana na mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama na kumkaribisha kusalimiana na wachezaji wa Panone fc na Yanga. |
| Mkuu wa Mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi msaidizi Ramadhan Mnyone. |
| Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na mwamuzi wa akiba ,Masawe, |
| Mkuu wa mkoa ,Gama akisalimiana na wachezaji wa Panone fc. |
| Mkuu wa mkoa Gama akisalimiana na wachezaji wa Yanga. |
| Viongozi wa chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiongozwa na mwenyekiti wake Gudluck Mushi na katibu wake Mohamed Musa wakisalimiana na wachezaji wa Yanga. |
| Mawaidha kabla ya kuanza ka mchezo . |
| Wachezaji wakipeana mikono . |
| Nahodha wa Yanga Nadir Haroub"Canavarho" akiteta jambo na nahodha wa Panone fc Juma Mgunya mbele ya waamuzi wa chezo huo. |
| Waaamuzi na manahodha wakila pozi la picha ya pamoja . |
| Kikosi cha Panone fc. |
| Kikosi cha Yanga. |
TIZAMA MATUKIO MBALIMBALI YA MCHEZO WA YANGA NA PANONE FC YA KILIMANJARO KABLA YA KUANZA.
| Mgeni rasmi katika pambano hilo mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akisalimiana na viongozi wa Yanga mara baada ya kuwasili uwanjani hapo. |
| Baadhi ya viongozi wa Yanga walimkumbuka Gama wakati huo akiwa mkuu wa wilaya ya Ilala ambako katika kipindi chake Yanga ilichukua Ubingwa. |
| Mashabiki wa soka wakiwa wamefurika katika uwanja wa Ushirika. |
| Baadhi ya viongozi wa Yanga na Chama cha soka mkoa wa Kilimanjaro wakiteta jambo. |
| Mama Yanga pia alikuwepo sanjari na mashabiki wengine wa Yanga. |
| Mashabiki pekee wa timu ya Panone pia walikuwa uwanjani hapo. |
| Panone fc wakipasha misuli moto. |
| Yanga wakipasha misuli moto. |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia