BREAKING NEWS

Monday, April 7, 2014

MIAKA MIWILI TANGU KANUMBA AIAGE DUNIA,LULU AAMUA KUFUNGUKA NDANI YA INSTAGRAM

Kupitia akaunti yake ya Instagram, msanii Elizabeth Michael a.k.a Lulu ameandika maneno haya hapa kukusu Kanumba:-

"bado siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona ama kukusikia baba....ninaamini bado tupo wote kiroho, Na ninaamini zaidi nafsi yako huko ilipo inasimama kunitetea na kunipigania, inaweza kunichukua miaka na miaka kukuelezea...u still liv in me daddy and your dearly missed....R.I.P daddy angu" huo ndiyo ujumbe alioutoa leo hii

kanumba
Ikumbukwe kuwa leo ni miaka miwili tangu Msanii wa Filamu Bongo Sreven Kanumba afariki dunia Aprili 7, 2012.

Share this:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

 
Back To Top
Copyright © 2014 MOUNT KILI NEWS. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates