BREKING NEWS !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WATU wawiliwamefariki dunia na wengine kuumia mara baada ya magari mawili ambayo  ni hiece pamoja na gari dogo aina ya Corola kugongana katika eneo la Orjoro jijini Arusha.

kwa mujibu wa taarifa tulizozipata  inasemekana kuwa watu hao walikuwa wanatoka katika sherehe ya mahafali ya mafunzo ya jeshi huko JKT Oljoro.

libeneke la kaskazinii litaendelea kukuletea taarifa zaidi.......

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia