Ticker

6/recent/ticker-posts

KIFUSI CHAFUNIKA WATU MKOANI KILIMANJARO WATU WAWILI WAHOFIWA KUPOTEZA MAISHA

Hatimaye mwili wa kijana huyo ukaonekana.
Shughuli za kufukua kifusi katika eneo hilo ukaendelea .
hatimaye mwili ukaopolewa toka katika kifusi.
Hivi ndivyo vijana wa eneo hilo wakawa wamefanikisha kupatikana mwili wa mwenzao.
Mwili wa kijana Shukuru Temu ukishushwa toka katika machimbo ya Rongoma .
Wananchi katika kijiji cha Masaera wakiwa wamezunguka mwili wa marehemu Shukuru baada ya kufikishwa barabarani toka kwenye machimbo ya Rongoma.

Post a Comment

0 Comments