Ticker

6/recent/ticker-posts

MONDULI WAPEWA ELIMU YA KUNUSURU KAYA MASKINI


Mkuu wa Wilaya ya Monduli,mkoani Arusha,Jowika Kasunga akifungua  Warsha iliyoandaliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini(Tasaf) kwaajili ya Kunusuru Kaya Maskini kwenye vijiji 27,kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli,Edward Sapunyu na Meneja Masijala ya Walengwa,Phillipine Mmari.
Meneja Masijala ya Walengwa wa Tasaf,Phillipine Mmari akizungumza kwenye  Warsha ya wadau iliyofanyika wilayani Monduli mkoa wa Arusha iliyoandaliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii nchini(Tasaf) kwaajili ya Kunusuru Kaya Maskini kwenye vijiji 27 wilayani humo,kushoto ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli,Edward Sapunyu na Mkuu wa Wilaya ya Monduli,Jowika Kasunga.
Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli wakifatilia Warsha hiyo inayokusudia Kunusuru Kaya Maskini kwenye maeneo yao na kuwaletea wananchi maendeleo.
Madiwani  na Watumishi wa Halmashauri ya Monduli wakisikiliza kwa makini mada juu ya Kunusuru Kaya Maskini wilayani Monduli.
Mkuu wa Wilaya ya Monduli,Jowika Kasunga(wanne kushoto)akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Halmashauri ya Monduli na Tasaf katika picha ya Pamoja.

Post a Comment

0 Comments