Ticker

6/recent/ticker-posts

RAIS KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA UKUMBI WA MIKUTANO AICC KATIKA MAONYESHO YA SABASABA JIJINI DAR


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Kikwete akisikiliza maelezo kutoka kwa mfanyakazi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Ekaeli Mbise baada ya kutembelea banda la AICC



Ankal Muhidin Issa Michuzi mmiliki wa kampuni ya MICHUZI MEDIA GROUP nae alihakikisha hatoki ndani ya maonesho ya Sabasaba bila kutembelea banda la AICC. Hapa akisalimiana na wbaadhi ya wafanykazi wa AICC na Wizara ya mambo ya ndani.



Wafanyakazi wa AICC na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa katika picha ya pamoja na Mheshimiwa Rais Kikwete baada ya Rais kutembelea banda la Wizara na AICC katika maonesho ya KImataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

0 Comments