MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI AKUTANA NA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA

MBUNGE JOSHUA NASSARI AONGEA NA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA.

Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari akizungumza jambo na rais wa Marekani Barack Obama alipokuwa akiingia ukumbini kwa ajili ya mkutano wake na kundi la Viongozi vijana toka nchi mbalimbali barani Afrika walioko nchini Marekani kwa ajili ya mafunzo.
Rais Obama akisalimiana na viongozi vijna toka nchi mbalimbali barani afrika aliokutana nao baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa yaliyokuwa yakiendelea nchini humo.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia