HATMAYE MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
| Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA,Mhandisi Cyprian Luhemeja akizungumza na wafanyakazi wa mamlaka hiyo (hawapo pichani) wakati wa kutimiza siku 360 ofisini. |
| Baadhi ya wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,MUWSA wakimsikiliza Mkurugenzi wa mamlaka hiyo(hayupo pichani) |
| Meneja Fedha wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi ,Grace Msiru akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake ya fedha. |
| Baadhi ya wafanyakazi wa MUWSA. |
| Meneja Biashara wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi ,MUWSA ,John Ndetiko akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake ya Biashara. |
| Meneja utawala na rasilimali watu wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Mjini Moshi,Michael Konyaki akizungumzia mafanikio na changamoto katika siku 360 kwa idara yake. |
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia