TANZANIA YAPATIWA MKOPO WAZAIDI YA SHILINGI MILION 30 NA BENKI YA BADEA

 waziri wa fedha wa Tanzania Dr,Wiliam Mgimwa akiwa mkurugenzi wa benki ya Badea  Abdelaziz Khelef wakibadilishana mikataba ya mkopo mara baada ya kutia saini
 wakibadilishana mawazo
 waziri wa fedha wakiwa wanaongozana na waandishi kwa ajili ya kuongea nao
 mdada wa libeneke la kaskazini akisalimiana na waziri wa fedha
waziri wiliam mgimwa akiwa anaweka saini ya mkataba wa mkopo wa bilioni 34.5 kutoka katika benki ya maendeleo ya afrika tok nchini uharabuni (BADEA)
waziri wa fedha zazibar Yusuphy mzee akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari mara baada ya mkopo huo kutolewa

Mwandishi wa habari wa gazeti la majira Pamela Mollel akiwa anabadilishana mawazo na  Tiganya

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia