WAMASAI WAFURIKA NA MABANGO NMC LEO
aya na kadi zao leo twazitupa kabisaa tumezinduka
| mwenyekiti baraza la vijana taifa (BAVICHA) John Heche akiwa anawahutubia wananchi wa mkoa wa arusha katika mkutano uliobebwa kwa jina la vua gamba vaa gwanda |
| mwenyekiti na kadi zao hizi hapa leo nazitupa nipe ya chadema baba |
Milya akiongea na wananchi
| sio kwenye gwasuma tu bwana atachadema nimewaona |
Kamanda wa anga ambaye pia ni mwenyekiti wa taifa Chadema freeman Mbowe akiongea na wananchi
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia