viongozi mbali mbali wa jumuiya ya afrika mashariki akiwemo katibu mkuu wa jumuiya hiyo balozi charles sezibera na manaibu mawaziri wanaowakilisha nchi za jumuiya hiyo akiweemo eliya kategaya wa uganda na nyuma ni wabunge wa tanzania anayeonekana ni Abdallah Mwinyi na wengineo
 wabunge wa bunge la afrika mashariki wakiwa katika kikao cha kawaida cha bunge hilo jijini Arusha  kabla ya kusomwa kwa bajeti ya jumuiya ya afrika mashariki kikao hocho kilifanyika katika ukumbi wa bunge hilo uliopo AICC
muonekano wa kikao hicho wakati kikiendelea chini ya uongozi wa spika wa bunge la afrika mashariki bw.Abdirahin Abdi na wabunge kutoka nchi 5 za jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia