SEREKALIYA LIBIA YAPEWA MSAADA WA ZAIDI YA DOLA 40

Serekali ya LIBERIA imepokea msaada wa mkopo  wa jumla ya dola milioni 46.50 kutoka Benki ya maendeleo ya Africa AFDB ambayo inalenga katika  kuingia mfuko wa kilimo pamoja na uhifadhi wa chakula.
Mkopo huo ulishuhudiwa na kutiwa saini makubaliano yaliafanyika katika mkutano AFBD hunaondelea jjijini hapa na kamishina wa tume ya uwekezaji toka nchini Liberia Natty B. Davis   pamoja na kutiwa saini na na makamu wa Raisi wa sekta ya uwekezaji nchini  LIBERIA Kamal Elkeshen.
kamishina wa tume ya uwekezaji toka nchini Liberia Natty B. Davis pindi baada ya kutia saini makubaliano hayo amesema kuwa msaada huu wa mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Africa ni wa mara ya kwanza kwa nchi yao toka walipoanzisha ushirikiano na AFDB

Alisema kuwa anapenda kuiambia sekretariti ya Benki ya Maendeleo ya Africa AFDB kuwa msaada huo wa mkopo utaisadia serekali ya Liberia katika sera zake ilionazo za kuwasaidia wananchi wake waishio vijijini.
Katika mkopo huo uliotolewa na Benki ya Maendeleo Barani Africa wamengia na makubaliano na Liberia kuweka uhusiano mzuri na wafadhili wa jumuiya za kimataifa ambapo itaisaidia nchi hiyo kujiondoa na umaskini hasa hasa katika sekata ya kilimo   pamoja  na uhifadhi wa chakula
Pamoja na mkopo huu kulenga kusaidia usalama wa chakula nchini LIBERIA pia msaada huu umelenga katika sekta ya wakulima wadogo wadogo katika ukulima hadi uzalishaji hii ikiwa na lengo la kuondoa tatizo la jira sambamba na kuweka uhahi wa kilimo cha vijijini.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia