ENABLIS YAFANYA MAONYESHO YA WAFANYA BIASHARA WADOGO ARUSHA

 Wafanyakazi wa benki ya NMB wa kwanza kushoto ni  meneja wa benki hiyo Vicki Bishubo na Afisa mikopo  Andrew Sanga wakiangalia bidhaa zilizosindikwa na wafanyabiashara wadogo wa mkoani Arusha katika maonyesho ya ENABLIS yaliyofanyika katika hotel ya New Arusha jijini hapa leo
Afisa masoko mkufunzi wa ENABLIS Freddy Mumbuli akikagua bidhaa zilizoletwa katika maonyesho ya ENABLIS na wafanya biashara wadogo wa mkoani Arusha

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia