KUMBUKUMBU MUHIMU SINGIDA


mbunge wa zamani wa jimbo la Arusha mjini,Godbless Lema(katikati) akiwa na wakili msomi katika kesi iliyomvua ubunge,Alute Mughai (kushoto) na kulia kwake ni mbunge wa jimbo la Singida Mashariki ambaye pia ni wakili katika kesi ya kupinga kuvuliwa madaraka yake ya ubunge wote wakiwa katika msiba wa baba yake na Lissu aliyefariki hivi kaibuni jijini Dar es salaam na kisha kuzikwa nyumbani kwao Singida.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia