IKULU:Rais jakaya kikwete Aweka jiwe la msingi kwenye Kituo Kikubwa cha Mabasi ya Mradi wa Usafiri wa Haraka Dar es Salaam (DART)

 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Kigamboni(CCM), Faustine Ndugulile
 Rais Kikwete akizindua Jiwe la msingi la mradi wa Ujenzi wa mabasi yaendayo haraka barabara ya Morogoro, jijini Dar es Salaam jana. Ujenzi huo utakaoanzia 'ferry' hadi Kimara kwa kuunganisha na barabara ya Kawawa kuanzia Magomeni hadi Morocco ni wa umbali wa zaidi ya Kilometa 21.
Rais Jakaya Kikwete akikagua vifaa vya kampuni inayojenga katika mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia