Ticker

6/recent/ticker-posts

CHAMA CHA MAPINDUZI CHAFANYA KUFURU MKOANI NJOMBE

1. KINANA AKIHUTUBIA KWENYE UWANJA WA MPIRA MJINI LUDEWA MKOANI NJOMBEKatibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara wa CCM, kwenye Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoni Njombe, leo May 28, 2013. Kinana ambaye yupo katika ziara ya siku saba, kukagua utekelezaji wa ilani ya chama na kuzungumza na wananchi mkoani Njombe, amefuatana na Katiobu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye. (Picha na Bashir Nkoromo)
2. MAELFU KWENYE MKUTANO WA CCM LUDEWA MKOANI NJOMBE
Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika Mei 28, 2013 katika Uwanja wa mpira mjini Ludewa mkoani Njombe.

Post a Comment

0 Comments