LWAKATARE ASHINDWA KUINGIA URAIANI LEO.....HAKIMU YUPO LIKIZO KWA WIKI MBILI
Hakimu
anayesikiliza Kesi ya Lwakatare (CHADEMA) katika mahakama ya Kisutu Mh.
Katemana yupo likizo kwa wiki mbili na hivyo Mahakama imeshindwa kutoa
dhamana kwa Lwakatare na kuipiga kalenda kesi hiyo mpaka Tarehe 27 Mei.
Hata hivyo, Mawakili wa Lwakatare wanafanya juu chini ili waweze kupata dhamana yake japo juhudi zinaonekana kugonga mwamba..
About Woinde Shizza
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia