Ticker

6/recent/ticker-posts

HIZI NDIZO PIKIPIKI ZA CHADEMA ZILIZOKABIDHIWA NA AMANI GOLUGWA


IMG_0078Baadhi ya Wanachama na Viongozi wa Chadema wakitizama pikipiki zilizotolewa na makao makuu ya chama na kugawanywa na Ofisi za kanda ya kaskazini CHADEMA iliyoko mjini Arusha ,jumla ya piki piki 7 zilikabidhiwa  jana katika  majimbo ya chama hicho
IMG_0079Watatu kutoka kushoto ni Mratibu wa CHADEMA kanda ya kaskazini Amani Golugwa ambaye pia ni katibu wa chama mkoa akikabidhi piki piki 7 kwa viongozi wa chama katika  majimbo nje ya Ofisi za mkoa za chama Arusha
IMG_0082Wapili kutoka kushoto ni Mratibu wa CHADEMA kanda ya kaskazini Amani Golugwa ambaye pia ni katibu wa chama kimkoa akikabidhi piki piki 7 kwa viongozi wa chama katika  majimbo nje ya Ofisi za mkoa za chama Arusha.
IMG_0083Wapili kutoka kushoto ni Mratibu wa CHADEMA kanda ya kaskazini Amani Golugwa ambaye pia ni katibu wa chama kimkoa akikabidhi piki piki 7 kwa viongozi wa chama katika  majimbo nje ya Ofisi za mkoa za chama Arusha. pikipiki zilizotolewa na makao makuu ya chama na kugawanywa na Ofisi za kanda ya kaskazini CHADEMA iliyoko mjini Arusha ,wa kwanza kushoto ni Afisa utawala wa kanda ya  kaskazini wa chama Amina  Ali Saguti
IMG_0087
IMG_0103
IMG_0104Kutoka  kulia  ni  Mratibu wa CHADEMA kanda ya kaskazini Amani Golugwa ambaye pia ni katibu wa chama kimkoa akikabidhi piki piki mbili kwa wilaya ya Arusha Mjini zilizopokelewa  na Martin Sarungi wakwanza kushoto  ambaye ni Katibu wa CHADEMA wilaya ya Arusha.Jumla ya piki piki saba zilikabidhiwa jana kwa viongozi wa majimbo ya chama.
IMG_0106

Post a Comment

0 Comments