Ticker

6/recent/ticker-posts

KWA SASA HIVI TOVUTI YENU YA LIBENEKE IMEANZA KUWALETEA KIPINDI KIPYA CHA UWANJA WA MAPENZI NA MIKASA MBALIMBALI KATIKA MAPENZI KAMA UNA MKASA WAKO UNAO KUKABILI BASI TUTUMIE ILI WATU WAWEZE KUCHANGIA NA KUKUPA USHAURI NINI CHAKUFANYA

nifanyaje jaman sikujua kama mume wa mtu nimesha kutana nae kimwili na ananisaidi sana katika mahusiano yetu sasa tuna miaka minne ila mwezi huu wa nne mwaka huu ndo ameniambia kuwa anmke na watoto wawili. Nimeumia sana ila kani hakikishia kuwa ananipenda na hato niacha ammesha ninunulia gari na ananisomesha chuo mwaka wa kwanza huu je nifanyaje maana na mi sina mpenzi zaidi yake na ninahisi naumia kila nikihisi yupo na mkewake.

KWA KUTUMA MAONI YAKO KUTOKANA NA MADA AMBAYO IMETUMWA UNAWEZA KUENDA KWENY E SEHEMU ILIANDIKWA COMENTI UKA BONYEZA APO UKAANDIKA MAONI YAKO NA KISHA UKATUMA  MOJA KWA MOJA TUTAUPATA NA KWA WALE WENYEKERO ZAO NA WANATAKA WAPATE USHAURI KUTOKA KWA WADAU MBALIMBALI  UNAWEZA KUANDIKA DUKUDUKU LAKO LIWE LA MAPENZI ,SIASA NA HATA MENGINE ILI WATU WAWEZE KUCHANGIA

UNAWEZA kutuma kwa kupitia email hii hapa
woindeshizza01@gmail .com

wote mnakaribidhwa katika mdahalo huu

Post a Comment

0 Comments