Ticker

6/recent/ticker-posts

TASWIRA:MWILI WA AFISA HABARI MKUU WA OFISI YA BUNGE WAWASILI NCHINI


 Mwili wa Marehemu Ernest Zulu, Afisa Habari Mkuu Ofisi ya Bunge umewasili nchini kutoka Malaysia ambako alikuwa akisoma hadi umauti ukamkuta. Heshima za mwisho zitatolewa leo tarehe 30 Mei, 2013 nyumbani kwake Dar es Salaam, Ubungo-Kibangu kuanzia saa tano asubuhi
 Maandalizi ya ibada ya Misa takatifu ya kumwombea marehemu
 Jeneza lenye mwili wa marehemu Ernest Zulu likiwa kanisani wakati wa ibada ya kumwombea
  Mke wa marehemu Zulu (aliyefunga mkono) akiwa kanisani
 Watoto wa marehemu Zulu wakiomboleza kifo cha baba yao mpendwa
Waomboleza kwenye msiba wa marehemu Ernest Zulu
 

Post a Comment

0 Comments