Taswira:Mbunge wa Iringa Mjini-Chadema Mch.Peter Msigwa Afikishwa Mahakamani Chini ya Ulinzi Mkali Kwa Tuhuma Za Uchochezi


Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kikiwa tayari kukabiliana na lolote linaloweza kutokea katika viunga vya Mahakama ya Mkoa wa Iringa.
Mbunge wa Iringa mjini-Chadema mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), akishuka katika gari la Polisi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Mkoa leo akikabiliwa na tuhuma za uchochezi.
PICHA KWA HISANI YA HAKINGOWI.COM

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia