Taswira:Mbunge wa Iringa Mjini-Chadema Mch.Peter Msigwa Afikishwa Mahakamani Chini ya Ulinzi Mkali Kwa Tuhuma Za Uchochezi
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kikiwa tayari kukabiliana na
lolote linaloweza kutokea katika viunga vya Mahakama ya Mkoa wa Iringa.
Mbunge wa Iringa mjini-Chadema mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA),
akishuka katika gari la Polisi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya
Mkoa leo akikabiliwa na tuhuma za uchochezi.
PICHA KWA HISANI YA HAKINGOWI.COM
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia