Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Hai,
akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa chama hicho Kijiji cha Mtakuja, Mzee
Ally Mbatia. Mbowe yuko katika ziara ya kukagua uhai na kuimarisha
ujenzi wa chama katika ngazi ya chini kabisa ya chama hicho, msingi,
kwenye maeneo ya vitongoji mbalimbali katika vijiji vya Jimbo la Hai.
Mwenyekiti
wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi wa Kambi ya
Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe akisalimiana na Naibu Waziri wa
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole Medeye. Viongozi hao
walikutana juzi eneo la Bomang’ombe, wilayani Hai, kila mtu akiwa katika
ziara yake. Wakati Mbowe alikuwa anaendelea na ziara ya kuzungukia
wananchi latika vijiji mbalimbali jimboni kwake Hai, Medeye alikuwa
katika ziara yake binafsi maeneo ya jimbo hilo.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
RELATED POSTS
0
Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia