MSWEDEN SARAHA AUKUBALI MZIKI WA BONGO, ASEMA NI CHAGUO LAKE SAHIHI KUIMBA MZIKI HUO.

 



Msanii wa kike raia wa Sweden aishiye nchini, Saraha amesema Bongoflava ndio muziki pekee aliotokea kuupenda zaidi na kwamba ni muziki atakaokuwa akiufanya muda wote.
Saraha ametoa kauli hiyo kwenye kipindi cha Enews cha EATV.

Pia alielezea kuhusu kukamilika kwa albamu yake aliyoipa jina la ‘Mbele Kiza’ ambayo ina nyimbo kama Jambazi.

Hivi karibuni mume wake ambaye ni producer wa Usanii Production, Fundi Samweli alitangaza kuwa yeye na Saraha watarajea nchini kwao Sweden kuendelea na shughuli zao huko.

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia