Madee WANTED (Arachunga) Arusha!



Kama kawaida yao kwa machalii wa Arusha (A-Town) ni kwamba ukimzingua chalii mmoja wa Arachuga tambua kuwa umemess up na mji mzima.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika toka A-TOWN ni kwamba kama Madee asipoonyosha maelezo yake kuhusu haki ya Dogo Janja ama kuomba radhi kwa walichomfanyia (Tip Top Connection), Arusha itakua chungu kwao. Kuna wale wanaosema kuwa wakimwona Arusha basi atarudi Dar jina tu.

Wapenzi wa hip hop jijini Arusha wana hasira na Madee kwakuwa wanaamini kuwa amemdhulumu Dogo Janja haki yake na kama asipoenda hewani kukiri kosa lake mambo yanaweza kuwa magumu zaidi kwake.



Source:  www.djnass255.blogspot.com

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post