Kesi ya Ngirabatware kuendelea tena Jumatatu: Kesi inayomkabili
Waziri wa zamani wa Mipango wa Rwanda, Augustin Ngirabatware itarejea
mahakamani Jumatatu kwa upande wa utetezi kuendelea kumhoji shahidi wa
mwisho wa mwendesha mashitaka, ambaye ni mwanadiplomasia wa Nigeria,
aliyeanza kutoa ushahidi wake Juni 5, na kisha mahakama kuahirisha
kufuatia ombi la utetezi
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia