KESI YA NGIRABATWARE KUENDELEA JUMA TATU

Kesi ya Ngirabatware kuendelea tena Jumatatu: Kesi inayomkabili Waziri wa zamani wa Mipango wa Rwanda, Augustin Ngirabatware itarejea mahakamani Jumatatu kwa upande wa utetezi kuendelea kumhoji shahidi wa mwisho wa mwendesha mashitaka, ambaye ni mwanadiplomasia wa Nigeria, aliyeanza kutoa ushahidi wake Juni 5, na kisha mahakama kuahirisha kufuatia ombi la utetezi

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia