wananchi wakishangaa gari hilo jinsi lilivyoivamia nyumba hiyio
gari aina ya kosta iliyokuwa inatoka moshi kuelekea arusha ikiwa inaonekana kwa mbele jinsi ilivyo acha barabara na kuvamia nyumba idadi ya majeruhi bado hatujajua na kama kunamtu amefariki dunia tutawajuza baadae
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia