MKUTANO WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA NI CHANGAMOTO KUBWA KWA NCHI YETU
Mkutano wa benki ya maendeleo y Afrika, AFDB, ni
changamoto kwa benki zetu hapa nchini katika swala zima la kuchangia
kukua
kwa uchumi na benki zenywe kufanya kazi kwa ufanisi zaidi kuliko
zilivyo sasa ili ziweze kwendana na mabadiliko ya kiteknolojia
inayotokea ulimwenguni na kuweza kuepuka kupata hasara kunapotokea
mitikisiko ya kiuchumi
Hayo yameelezwa na Askofu josephat mwingira, alipokuwa akizungumza na Libeneke la kaskazini h jijini hapa, anakohudhuria mkutano mkuu wa benki ya maendeleo ya Afrika ,na kusema kuwa kutokana na mkutano huo tunahitaji kufikiria upya juu ya mipango yetu kwa kushirikisha wadau wengi zaidi kuliko hali ilivyo sasa ili tuweze kupata maendeleo ya haraka na hivyo kushindana na mataifa yaliyoendelea.
Alisema Afrika sio masikini ila inakosa uongozi imara wenye dhamira nzuri ya kuwafungua macho wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika kuleta mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kupata maendeleo endelevu .
Hayo yameelezwa na Askofu josephat mwingira, alipokuwa akizungumza na Libeneke la kaskazini h jijini hapa, anakohudhuria mkutano mkuu wa benki ya maendeleo ya Afrika ,na kusema kuwa kutokana na mkutano huo tunahitaji kufikiria upya juu ya mipango yetu kwa kushirikisha wadau wengi zaidi kuliko hali ilivyo sasa ili tuweze kupata maendeleo ya haraka na hivyo kushindana na mataifa yaliyoendelea.
Alisema Afrika sio masikini ila inakosa uongozi imara wenye dhamira nzuri ya kuwafungua macho wananchi waweze kushiriki kikamilifu katika kuleta mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kupata maendeleo endelevu .
''unajua
nchi yetu sio masikini ila tatizo ni kwamba inakosa viongozi wenye
uwezo na ambao wanauchungu na nchi yao ,mbali na hao pia wanauchungu na
wananchi wao''alisema Mwingira
Alibainisha kuwa amesikitishwa na idadi ndogo ya washiriki kutoka sekta binafsi nchini huku, washiriki wengi ni watumishi wa serikali na kutahadharisha kuwa iwapo hali hiyo haitarekebishwa siku zijazo taifa halitaweza kusonga mbele katika mabadiliko yanayotarajiwa kwa sababu wadau ndio walengwa ila hawapewi nafasi ya kutosheleza kushiriki na kutoa mchango wao .
kuhusu,uwekezaji ,,askofu Mwingira, amesema bado ni tatizo kutokana na jamii haijaelimishwa vya kutosha hivyo kushindwa kushiriki kikamilifu na kwa wingi katika shughuli zote ili iweze kuleta mabadiliko katika maisha yao na hatimae kuondokana na umaskini kwa kuanzisha miradi ya kiuchumi na kuiendeleza.
Alibainisha kuwa amesikitishwa na idadi ndogo ya washiriki kutoka sekta binafsi nchini huku, washiriki wengi ni watumishi wa serikali na kutahadharisha kuwa iwapo hali hiyo haitarekebishwa siku zijazo taifa halitaweza kusonga mbele katika mabadiliko yanayotarajiwa kwa sababu wadau ndio walengwa ila hawapewi nafasi ya kutosheleza kushiriki na kutoa mchango wao .
kuhusu,uwekezaji ,,askofu Mwingira, amesema bado ni tatizo kutokana na jamii haijaelimishwa vya kutosha hivyo kushindwa kushiriki kikamilifu na kwa wingi katika shughuli zote ili iweze kuleta mabadiliko katika maisha yao na hatimae kuondokana na umaskini kwa kuanzisha miradi ya kiuchumi na kuiendeleza.
Kwa
upande wa wananchi walifurahi na kusema kuwa mkutano huu umewaongezea
kipato kwa kipindi kichache kwani wamekuwa wanafanya biashara sana na
wamepata faida kubwa kutokana na wageni huku wakihisihi serekali
kuendela kuleta mikutano mikubwa kama hii jijini hapa kwa inawasaidia
wananchi na kuongezea kipato jiji letu
''kwakweli
nimefurahia mkutano huu kwani umetusaidia kuchangamsha mji na kutupa
fedha nyingi watu wamekuwa wakiuza vitu mbalimbali kwa ajili ya mkutano
huu ivyo tunaomba serekali isitutupe bali ilete mikutano hii ili pato la
jiji letu liendelee kukuwa"alisema israel mungure.
0 Comments:
Post a Comment
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia