WASICHANA WANAOSHINDANIA REDS MISS ARUSHA WAINGIA KAMBINI RASMI

 Baadhi ya washiriki wa kumsaka Mrembo wa mkoa wa Arusha wakiwa katika pozi kambini kwao
wakwaza kushoto ni mwalimu wa warembo wa jiji la Arusha ,ambaye pia alishawahi kushikilia taji la Urembo  Mbeya 2005 pamoja na kuwa mrembo wa nyanda za kuu kusini Enjo Justace katika kati ni mkurugenzi wa mwandago Investiment ambao ndio waandaaji wa shindano hili anayejulikana kama Faustini Mwandago na kulia ni meneja masoko wa hoteli ya Arusha Traveling ambapo ndipo warembo wameweka kambi hapo
warembo katika mazoezi ya kucheza
pozi la warembo kila mmoja alionyesha bwebwe zake

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia