NAOMI JAMES NDIE REDD'S MISS IRINGA 2012

   Miss Redd's mkoa wa Iringa Naomi James akipita akiwapungia mashabiki wake mara baada ya kutangazwa msishindi mrembo huyu alizawadiwa kitita  cha shilingi 500,0 00
Mshindi wa taji la Miss Redd's 2012 mkoa wa Iringa Naomi James kati kati akiwa na mshindi wa pili Sarah Utiku na Catherine Mfupi ambaye ni mshindi wa tatu mara baada ya kutangazwa usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa Highlands mjini Iringa
 tano bora kati ya washiriki 12 waliopanda jukwani wa kwanza kushoto ni Amisa Zuber, SArah Utiku, Naomi James ,Winfreda Felix na Catherine Mfupi

About Woinde Shizza

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Comments:

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia