Mlima uliokuwa wa kwanza barani africa kwa urefu kuliko milima yote africa sasa watanzani kazi kwetu kupigia vivutio vyetu kura
Kama
haujawahi kutembelea nchi ya tanzania au katika vivutio vya utalii
ikiwemo mlima kilimanjaro fanya hiuma kufanya hivyo kwa sababu kuna vitu
vingi na vizuri vya kujifunza kuhusu mlima Kilimanjaro na pia katika
hifadhi yake iliyopo Kilimanjaro kama unavyoona katika picha iliyopo
hapo chini. Mlima huu unahistoria ndefu sana kwanzia mwanzo wake mpaka
sasa.karibu katika mlima na kuweza kuupanda na kufika kileleni na kuona
theluji iliyoko juu ya mlima huo. Wengi waliopanda wamejionea kwa macho
yao bado wewe nawe nakusihi ukajionee kwa macho yako mlima huu.karibu
Tanzania,karibu hifadhi ya taifa ya Kilimanjaro. Na pia katika bara hili
la africa katika nchi ya tanzania kuna mbuga za wanyama kama vile
serengeti , ngorongoro conservation , manyara , selous na pia zipo
ndogondogo katika pwan kusini na tanzania lakini watu wote mnaotaka
kufika katika mbuga hizo lazima mpitie katika lango kuu la kiwanja cha
ndege cha mwalimu nyerere au kiwanja cha ndege cha kilimanjaro
international air port .bei au viingilio vya vivutio vya nchi yetu ni
rahisi na kila mtu anakaribishwa kuingia bila woga wowote.
Kilimanjaro Mlima mrefu kuliko yote Africa
Karibu
Tanzania kuona mlima mrefu kuliko yote africa.Historia fupi kuhusu
mlima Kilimanjaro,mlima huu ulikuwa ni wa volcano na sasa ni mlima
tulivu wa volcano nikimaanisha kuwa volcano yake imetulia na haitoki
tena.mlima huu una urefu wa mita 5895.Uko katika mkoa wa Kilimanjaro
nchini tanzania mpakani na kenya.Mlima huu unavilele viwili ambavyo ni
kibo na mawenzi.Vilele hivyo vilitenganishwa na volcano hiyo.
Mlima huu ni wa volcano na umetulia volcano yake kwa muda mrefu sasa.Pia mlima huu unatheluji nyeupe inayongaa kama jua linavyongaa.kupanda mlima huu kunategemea na njia gani uliyopitia kuna njia kama nne za kupandia,mmoja ni marangu , pili ni moshi mjini na nyinginezo nyingi.picha iliyoko hapo chini inaonyesha vilele hivyo ambavyo ni kibo na mawenzi.kama unatakakufika africa unatakiwa kufika kwanza tanzania ambapo ni katika mji wa dar es salaam.
Mlima huu ni wa volcano na umetulia volcano yake kwa muda mrefu sasa.Pia mlima huu unatheluji nyeupe inayongaa kama jua linavyongaa.kupanda mlima huu kunategemea na njia gani uliyopitia kuna njia kama nne za kupandia,mmoja ni marangu , pili ni moshi mjini na nyinginezo nyingi.picha iliyoko hapo chini inaonyesha vilele hivyo ambavyo ni kibo na mawenzi.kama unatakakufika africa unatakiwa kufika kwanza tanzania ambapo ni katika mji wa dar es salaam.
0 Comments
unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia