MAKABIDHIANO YA GARI LA PADRI




Nobert Olomi ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya Misa ya shukrani ya kupata upadrisho kwa Padri Gasto Sinkala akimkzungumza juzi kwenye Kanisa Katoliki mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara,wakati wa kumkabidhi gari aina ya Toyota Escudo padri huyo kama zawadi baada ya Padri Sinkala (kulia) kupata daraja hilo la upadri hivi karibuni mjini Arusha

Post a Comment

unashauriwa kutoa maoni muda na wakati wowote na kama unahabari yeyote unaruhusiwa kututumia

Previous Post Next Post